Quantcast
Channel: Kamanda wa Matukio OnlineTv
Browsing all 21720 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA VICHWA VYA MAGAZETI MBALIMBALI-JUNI 11,2015

   

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AVIC YAFUNGUA MAUZO YA NYUMBA

1. Tanzania unprecedented feast of real estate is about to openAVIC TOWN hits the highest point as the largest high-end villa community of Dar and Tanzania at large.AVIC TOWN is built by AVIC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOMREDI KINANA AUNGURUMA KARAGWE, ATEMBELEA KIWANDA CHA KAGERA SUGAR

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akishuka kutoka kwenye katapila baada kuliendesha wakati wa kazi ya kusawazisha shamba la kupanda miwa alipotembelea mashamba ya miwa ya Kiwanda cha Sukari cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMNYANGE AZINDUA BARAZA LA USHAURI TCAA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Monica Mwamyange akizungumza wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) na semina ya wadau wa usafiri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI...

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake. Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na kazi huku wakiwa na hudhuni baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO IJUMAA

         Na Awadh Ibrahim 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAFANIKISHA SIKU YA WAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI

 Meneja Mradi wa Kilimo cha Shayiri TBL Dk. Basson Bennie akitoa elimu kwa wakulima na wadau mbalimbali namna sahihi ya kuandaa, kupanda zao la Shayiri wakati wa Siku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOMREDI KINANA ATUA KYERWA, AKAGUA SHAMBA BORA LA MIGOMBA, KAHAWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la mkulima bora wa migomba, Eurius Kishinju katika Kata ya Mabira, wilayani Kyerwa, mkoani Kagera. Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA...

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd  Hii  ndio kampuni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA BARAZA KUU LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)

Ujumbe wa Tanzania unaendelea kushiriki katika kikao cha Mkutano Mkuu wa Kumi na saba wa Shirikia la Hali ya Hewa Duniani (WMO-Congress 17), mijini Geneva, nchini Uswisi. Ujumbe huo umeshiriki katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA AKIWA ZIARANI BARANI ULAYA

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibroad Slaa akiwa na Mshauri wa Masuala ya Uchumi, Sayansi na Maendeleo ya Jamii katika ulimwengu wa dijiti (digital), Dk. Mario...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (pichani) , amenusurika kifo baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Iringa kwenda Zanzibar kutaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA

Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS

  Baadhi  ya wazee wa Dodoma waliofika kwenye ukumbi wa Halmashauri kuu ya taifa ya CCM kumsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza baada  ya kuchukuwa fomu ya kuwania uteuzi wa CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTI MTEMVU ALIVYOBADILISHA MAUMIVU YA SIKU 30 KUWA BIASHARA

Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Uingereza kuanzia mwaka 1940 hadi 1945 na kisha kurejea tena mwaka 1951 hadi 1955, Winston Churchill aliwahi kusema, “a pessimist sees the difficulty in every opportunity;...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALI KIBA NA ABDU KIBA WALIVYOWARUSHA WASHINGTON DC..WAKISINDIKIZWA NA AJ UBAO

ALI KIBA NA MBWEMBWE ZAKE SASAALI KIBA NA ABDU KIBA WAKIWARUSHA                                                     JE UNAWAJUA HAWA    ABDU KIBA ....ALI KIBA..NA PROMOTA "DMK GLOBAL " KABLA YA SHOW...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAKAMCHAKA WA KINANA WATUA WILAYANI NGARA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuweka tone la chanjo mtoto wa miezi sita Innocent Noel  wakati wa uzinduzi wa chanjo kwa watoto katika Zahanati ya Kashinja,Kata ya Nyakisasa, wilayani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUE WASIFU WA BERNARD MEMBE

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLEZI WA TANGA PRESS CLUB ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAI

Dkt, Mussa Korokola ambaye pia ni mlezi wa Tanga Press Club akionyesha mkoba wenye fomu alizochukua kwa ajili ya kuomba kugombea urai kwa tiketi ya chama cha mapinduzi mjini Dodoma Jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS

 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela  pichani kabla ya kuingia  katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani ya...

View Article
Browsing all 21720 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>